Wednesday 15 February 2017

Diego Costa kuzeekea Chelsea

Kumekuwa na habari zilizothibitishwa kwamba Diego Costa anatarajiwa kusaini mkataba mpya ndani ya Chelsea. Mkataba huo ambao ni wa miaka 5 utamweka Chelsea mpaka mwaka 2023 ambapo pia mshahara wake utaongezeka na kufikia £22,000 kwa wiki (paundi 22000 kwa wiki)

No comments:

Post a Comment

Johnny MaLcom x

{picture#https://www.facebook.com/photo.php?fbid=1405295759685033&set=t.100007345536843&type=3&theater} The moment you come is the moment we let you go away {facebook#https://www.facebook.com/jeshilangu}
Powered by Blogger.