Monday 20 February 2017

Chelsea katika orodha ya wachezaji vijana

Leo tumekuletea orodha ya wastani wa miaka ya wachezaji katika timu zinazoshiriki ligi kuu ya Uingereza. Huku Chelsea ikiwa nafasi ya 10.

20. Watford
*miaka 29 na siku 316

19. West Brom
*miaka 29 na siku 273

18. Stoke city
*miaka 29 na siku 96

17. Man city
*miaka 28 na siku 303

16. Everton
*miaka 28 na siku 187

15. Crystal Palace
*miaka 28 na siku 182

14. Leicester
*miaka 28 na siku 140

13. Burnley
*miaka 28 na siku 61

12. Hull city
*miaka 28 na siku 14

11. Swansea
*miaka 27 na siku 314

10. Chelsea
*miaka 27 na siku 235
-mchezaji mdogo zaidi ni Ola Aina akiwa na miaka 20 na siku 109
-mchezaji mkubwa kuliko wote ni John Terry akiwa na miaka 36 na siku 49

9. Middlesbrough
*miaka 27 na siku 164

8. West Ham
*miaka 27 na siku 139

7. Arsenal
*miaka 27 na siku 99

6. Bournemouth
*miaka 27 na siku 96

5. Man utd
*miaka 27 na siku 87

4. Sunderland
*miaka 26 na siku 325

3. Southampton
*miaka 26 na siku 160

2. Liverpool
*miaka 26 na siku 14

1. Tottenham
*miaka 25 na siku 266

NB; Orodha hii imetolewa na mtandao wa Telegraph.com tarehe 25-January-2017

No comments:

Post a Comment

Johnny MaLcom x

{picture#https://www.facebook.com/photo.php?fbid=1405295759685033&set=t.100007345536843&type=3&theater} The moment you come is the moment we let you go away {facebook#https://www.facebook.com/jeshilangu}
Powered by Blogger.