Thursday 16 February 2017

Chelsea wana nafasi kubwa ya kubeba ubingwa

Moja kati ya wachezaji bora kuwai kutokea ndani ya Chelsea, Floyd Hasselbaik alipohojiwa kuhusu mwenendo wa Chelsea alisema

"naamini wapo kwenye kiwango bora, na pia naamini wana nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa. Wameshinda michezo 13 mfululizo. Ni jambo zuri kwao na pia ni jambo zuri kwa timu inayowania ubingwa"

Floyd ni mmoja kati ya wachezaji bora waliowai kuwepo ndani ya Chelsea, na pia anajumuishwa kama mmoja ya malegend wa Chelsea.

No comments:

Post a Comment

Johnny MaLcom x

{picture#https://www.facebook.com/photo.php?fbid=1405295759685033&set=t.100007345536843&type=3&theater} The moment you come is the moment we let you go away {facebook#https://www.facebook.com/jeshilangu}
Powered by Blogger.