Thursday 16 February 2017

Chelsea ndo bingwa

Paul Scholes ambaye ni mchezaji wa zamani wa Manchester utd ametoa mtazamo wako jinsi msimamo wa ligi kuu mpaka mwisho wa msimu utakavyokuwa.

Alisema mpaka mwisho wa msimu Chelsea atamaliza kama bingwa wakati Manchester city akiwa namba mbili huku akifatiwa na jirani yake ambaye ni Manchester utd ambaye atakuwa namba tatu na kwa upande wa nafasi ya nne ipo wazi kwa yeyote kati ya Arsenal au Liverpool.

Scholes ni mmoja kati ya watu wenye heshima kubwa klabuni Manchester city lakini pia pamoja na timu yake ya taifa ya England.

No comments:

Post a Comment

Johnny MaLcom x

{picture#https://www.facebook.com/photo.php?fbid=1405295759685033&set=t.100007345536843&type=3&theater} The moment you come is the moment we let you go away {facebook#https://www.facebook.com/jeshilangu}
Powered by Blogger.