Monday 13 February 2017

Chelsea yasaka forward

Chelsea inasemekana siku ya jumamosi ilipeleka watu wake (scouts) katika mechi ya FC Porto dhidi ya Guimares ambapo watu hao wanatajwa walienda ili kuwaangalia wachezaji wawili wa FC Porto ambao ni Andre Silva na Danilo Pereira.

Andre Silva ametajwa kuwa na kiwango kizuri akicheza kama mshambuliaji ambapo katika michezo 25 amefanikiwa kufunga magoli 15.

No comments:

Post a Comment

Johnny MaLcom x

{picture#https://www.facebook.com/photo.php?fbid=1405295759685033&set=t.100007345536843&type=3&theater} The moment you come is the moment we let you go away {facebook#https://www.facebook.com/jeshilangu}
Powered by Blogger.