Sunday 16 October 2016

Ushindi tulioupata ni kwa ajiri ya willian

Chelsea hapo jana iliichapa Leicester city nyumbani bao 3-0 mabao yaliyowekwa kimyani na Costa,hazard nabao la mwisho kufungwa na moses.

Mechi hiyo iliyotawaliwa kwa kiasi kikubwa na chelsea huku kiungo Ng'olo kante aliyotokea Leicester city akionesha kiwango kikubwa na kupewa man of the match award.

Chaajabu katika mechi iyo ni ule ushangiliaji ulioonekana ukishangiliwa na Hazard na costa ambao baada ya mechi walisema kuwa zilikuwa ni salamu za willian ambaye juzi alifiwa na mamayake mzazi.

No comments:

Post a Comment

Johnny MaLcom x

{picture#https://www.facebook.com/photo.php?fbid=1405295759685033&set=t.100007345536843&type=3&theater} The moment you come is the moment we let you go away {facebook#https://www.facebook.com/jeshilangu}
Powered by Blogger.