Baada ya juzi kaka zao kutangazwa rasmi kuwa mabingwa wa Uingereza na watoto na wao wameendeleza moto uleule.
Chelsea U18s ambayo ni timu ya vijana ya wa umri chini ya miaka 18 na wao wametangazwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi ya taifa kwa timu za umri wao. Chelsea U18s imefanikiwa kutwaa ubingwa kwa historia na ukubwa wa hali ya juu mara baada ya kupata ubingwa huo wakiwa wamefanikiwa kufunga magoli 115 toka mwaka 2015 na kupata 'cleansheets' 18 kwa msimu huu. Lakini pia wametwaa na kombe la taifa, kwa mafanikio hayo wamevunja rekodi baada ya kupata mafanikio makubwa zaidi toka kufanya hivyo mwaka 1961.
Hongereni vijana, mnaipa hadhi chama la Chelsea....
No comments:
Post a Comment