Wachezaji wa Chelsea wenye mabao zaidi ya 10 katika ligi tofauti msimu huu...
>Diego Costa katika ligi kuu Uingereza au Epl ana magoli 20
>Tammy Abraham katika ligi daraja la kwanza la Uingereza au Championship akiwa kwa mkopo ana magoli 22
>Betrand Traore katika ligi kuu ya Uholanzi akiichezea Ajax kwa mkopo ana magoli 12
No comments:
Post a Comment