Tarehe kama ya leo 14-April-2009
Mlinzi wa kati wa Chelsea, Alex alifunga goli la mpira wa adhabu katika mchezo dhidi ya Liverpool katika kombe la klabu bingwa ya Ulaya maarufu kama Uefa Champions, na mpira uliisha kwa sare ya 4-4 na Chelsea kufuzu kwa jumla ya magoli 7-5.
No comments:
Post a Comment