Saturday, 12 August 2017

Usajili umekamilika; Baker asaini Chelsea, ajiunga Middles

Nyota wa Chelsea raia wa Uingereza, Lewis Baker amesaini mkataba mpya wa kuendelea kuichezea na kuwa mchezaji wa Chelsea kwa mkataba wa miaka 5 na amejiunga kwa mkopo na klabu inayoshiriki ligi daraja la kwanza nchini Uingereza maarufu kama Championship, Middlesbrought.

Nyota huyo aliyezalishwa na akademi ya kulea vipaji ya Chelsea akiisaidia kushinda mataji kadhaa aliitumikia pia klabu ya Vitesse aliyoichezea kwa mkopo msimu uliopita na kuisaidia kutwaa taji la ligi la nchini humo.

No comments:

Post a Comment

Johnny MaLcom x

{picture#https://www.facebook.com/photo.php?fbid=1405295759685033&set=t.100007345536843&type=3&theater} The moment you come is the moment we let you go away {facebook#https://www.facebook.com/jeshilangu}
Powered by Blogger.