Monday, 31 July 2017

Usajili umekamilika; Matic aungana na Mourinho

Baada ya kutumia misimu miwili na nusu wakiwa wote klabuni Chelsea, kocha Jose Mourinho na kiungo mserbia Nemanja Matic wameungana tena.

Jioni ya leo lile dili lililokuwa na 95% ili kukamilika la mchezaji huyo Nemanja Matic kuungana na kocha Mourinho limekamilika mara baada ya kiungo huyo kusaini mkataba huo wenye thamani ya paundi milioni 40.

No comments:

Post a Comment

Johnny MaLcom x

{picture#https://www.facebook.com/photo.php?fbid=1405295759685033&set=t.100007345536843&type=3&theater} The moment you come is the moment we let you go away {facebook#https://www.facebook.com/jeshilangu}
Powered by Blogger.