Wednesday, 28 September 2016

Steve Holland kuinoa timu ya taifa ya uingereza.

Kocha msaidizi wa chelsea steve holland anataajiwa kujiunga na southgate katika kibarua cha kuinoa timu ya taifa ya uingereza.

Wawili hao wanatarajiwa kujiunga kuinoa timu hiyo baada ya aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo kuachia ngazi.

Southgate na Holland watakinoa kikos hicho katika mechi nne zijazo.

No comments:

Post a Comment

Johnny MaLcom x

{picture#https://www.facebook.com/photo.php?fbid=1405295759685033&set=t.100007345536843&type=3&theater} The moment you come is the moment we let you go away {facebook#https://www.facebook.com/jeshilangu}
Powered by Blogger.