Kocha msaidizi wa chelsea steve holland anataajiwa kujiunga na southgate katika kibarua cha kuinoa timu ya taifa ya uingereza.
Wawili hao wanatarajiwa kujiunga kuinoa timu hiyo baada ya aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo kuachia ngazi.
Southgate na Holland watakinoa kikos hicho katika mechi nne zijazo.
No comments:
Post a Comment