Tuesday, 27 September 2016

Mambo matamu Abramovic na conte

Gazeti la times linaeleza kuwa mmiliki wa klabu ya chelsea bilionea wa kirusi Roman abramovic ametembelea kiwanja cha mazoezi Cobham na kuangalia jinsi mazoezi yanavyoenda.

Bilionea alikaa na vijana na kujionea jinsi wananvyo fanya mazoezi na wapi panahitaji marekebisho

Baada ya hapo abramovic alienda kupata lunch pamoja na meneja conte ili kuonesh sapoti yake na kuthibitisha ukaribu wao

No comments:

Post a Comment

Johnny MaLcom x

{picture#https://www.facebook.com/photo.php?fbid=1405295759685033&set=t.100007345536843&type=3&theater} The moment you come is the moment we let you go away {facebook#https://www.facebook.com/jeshilangu}
Powered by Blogger.