Gazeti la times linaeleza kuwa mmiliki wa klabu ya chelsea bilionea wa kirusi Roman abramovic ametembelea kiwanja cha mazoezi Cobham na kuangalia jinsi mazoezi yanavyoenda.
Bilionea alikaa na vijana na kujionea jinsi wananvyo fanya mazoezi na wapi panahitaji marekebisho
Baada ya hapo abramovic alienda kupata lunch pamoja na meneja conte ili kuonesh sapoti yake na kuthibitisha ukaribu wao
No comments:
Post a Comment