Wednesday, 2 August 2017

Magoli yote 67 ya John Terry akiwa Chelsea

Nahodha, Kiongozi na Gwiji wa Chelsea, John Terry alipohojiwa kuhusu Chelsea na kwanini aliamua kuachana na ligi kuu na kwenda kucheza ligi daraja la kwanza maarufu kama Championship katika klabu ya Aston Villa.
Lakini alichokijibu "kwa sababu sitaki kucheza dhidi ya Chelsea"
Nimekuwekea hapa video ya magoli yake yote akiwa Chelsea, magoli 67.

No comments:

Post a Comment

Johnny MaLcom x

{picture#https://www.facebook.com/photo.php?fbid=1405295759685033&set=t.100007345536843&type=3&theater} The moment you come is the moment we let you go away {facebook#https://www.facebook.com/jeshilangu}
Powered by Blogger.