Tuesday, 4 July 2017

Usajili umekamilika; Everton yamsajili Keane

Klabu ya Everton imefanya usajili mwengine baada ya kumsajili mlinzi wa Everton, Michael Keane. Klabu hiyo imetoa £30milioni katika kumsajili mlinzi huyo.

Everton mpaka sasa imeshatumia £90milioni katika kufanya usajili kuelekea msimu mpya.

No comments:

Post a Comment

Johnny MaLcom x

{picture#https://www.facebook.com/photo.php?fbid=1405295759685033&set=t.100007345536843&type=3&theater} The moment you come is the moment we let you go away {facebook#https://www.facebook.com/jeshilangu}
Powered by Blogger.