Tuesday, 25 July 2017

Mechi ya kirafiki; Chelsea vs Bayern na Morata akiwemo

Chelsea siku ya leo mida ya mchana saa 14;35 itaingia tena uwanjani kupambana na mabingwa wa Ujerumani wenyeji wa jiji la Munich, Bayern Munich katika mchezo utakaopigwa barani Asia, katika jiji la Singapore katika uwanja wa Singapore National Stadium.

No comments:

Post a Comment

Johnny MaLcom x

{picture#https://www.facebook.com/photo.php?fbid=1405295759685033&set=t.100007345536843&type=3&theater} The moment you come is the moment we let you go away {facebook#https://www.facebook.com/jeshilangu}
Powered by Blogger.