Sunday, 11 June 2017

Alex Sandro karibuni na Conte

Mlinzi wa kushoto wa Juventus, Alex Sandro ambaye amekuwa akifukuziwa kwa karibu na Chelsea imetaarifiwa klabu yake hiyo imekataa ofa juu ya mchezaji huyo ambapo Chelsea walikuwa tayari kutoa £44milioni lakini mabingwa hao wa Italia wamekataa kumuuza mlinzi huyo ambaye anatazamiwa na Conte kwamba ataweza kumpa ushindani Marcos Alonso.

No comments:

Post a Comment

Johnny MaLcom x

{picture#https://www.facebook.com/photo.php?fbid=1405295759685033&set=t.100007345536843&type=3&theater} The moment you come is the moment we let you go away {facebook#https://www.facebook.com/jeshilangu}
Powered by Blogger.