Friday, 17 March 2017

Hatari! Fabregas Awafundisha mpira Man u

Kiungo mkongwe Cesc Fabregas Ndani ya dakika 9 tu aliweza kupiga pasi sahihi 20 kati ya 21 kushinda mchezaji yeyote wa Man u akiwepo Paul Pogba,kiungo na mchezaji ghari zaidi duniani kwa sasa.

Fabregas aliyeingia mchezoni dakika ya 81 kati ya mchezo wa FA ulioligwa Stamford bridge dhidi ya Man u na Chelsea kuibuka na ushindi wa bao 1 kwa bila lililofungwa na Kante ndiye alikuwa mchezaji bora zaidi kuliko mchezji yeyote wa man u.

No comments:

Post a Comment

Johnny MaLcom x

{picture#https://www.facebook.com/photo.php?fbid=1405295759685033&set=t.100007345536843&type=3&theater} The moment you come is the moment we let you go away {facebook#https://www.facebook.com/jeshilangu}
Powered by Blogger.