Tuesday, 25 July 2017

Mechi ya kirafiki; Chelsea 1 vs 3 Bayern Munich, dakika 45+3'

Haya haya sasa Chelsea wanarudi baada ya kuchomoa goli moja.
Ni pasi ndefu iliyopigwa na Victor Moses akiwa upande wa kulia akapiga pasi kati ikawa ina ambaambaa akatokea Marcos Alonso akiwa upande wa kushoto akafumua shuti kali na kuipatia Chelsea goli la kwanza.
Chelsea 1 vs 3 Bayern Munich

No comments:

Post a Comment

Johnny MaLcom x

{picture#https://www.facebook.com/photo.php?fbid=1405295759685033&set=t.100007345536843&type=3&theater} The moment you come is the moment we let you go away {facebook#https://www.facebook.com/jeshilangu}
Powered by Blogger.