Monday, 6 March 2017

Video; Chelsea na ubora wa akina Drogba na Lampard wake

Unaikumbuka hii?
Ilikuwa msimu wa 2008-2009 hatua ya robo fainali kati ya Liverpool dhidivya Chelsea, mchezo wa kwabza uliisha kwa sare ya 1-1

Hii mechi ilikuwa ndio mechi ya utamu iliyojaa soka la kushambulia. Kocha wa Chelsea akiwa Guus Hiddink. Iangalie ukumbushie Chelsea ya akina Drogb, achana kwanza na hii ya akina Costa.

No comments:

Post a Comment

Johnny MaLcom x

{picture#https://www.facebook.com/photo.php?fbid=1405295759685033&set=t.100007345536843&type=3&theater} The moment you come is the moment we let you go away {facebook#https://www.facebook.com/jeshilangu}
Powered by Blogger.